RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungmza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo,kupitia utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo mkutano uliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo,ikiwa ni muendelezo wa kufuatilia utendaji kwa taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
Wafanyabiashara Wapata Mbinu za Ukuaji Kupitia NMB Business Club
-
Benki ya NMB imeendelea kuimarisha huduma kwa wafanyabiashara kupitia NMB
Business Club, jukwaa linalowapa wateja elimu ya fedha, teknolojia na fursa
mba...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment