RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungmza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo,kupitia utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo mkutano uliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo,ikiwa ni muendelezo wa kufuatilia utendaji kwa taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
MTI MMOJA, ENEO AMBALO SIMBA HULITUMIA KWA HONEYMOON KRETA YA NGORONGORO.
-
Unaweza kustaajabu lakini ukweli upo hivyo, ukitaka kuwaona simba wakiwa
katika harakati za kuongeza familia fika katika Kasoko ya Ngorongoro eneo
la mt...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment