Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akipima mti kujua upana wake baada ya kuzindua zoezi la sensa ya miti
(woody Biomass Survey) katika hifadhi ya Taifa ya msitu wa Jozani
jana,(kulia) Naibu waziri wa Kilimo na Maliasili, Mtumwa Kheir Mbaraka, na
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Maliasili Affani Othman Maalim,(kushoto).Picha
na Ramadhan Othman Ikulu.
BAFANA BAFANA YAANZA VYEMA AFCON, YAICHAPA ANGOLA 2-1
-
TIMU ya Afrika Kusini imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya jirani zao,
Angola katika mchezo wa Kundi B Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika
(AFCON)...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment