Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akipima mti kujua upana wake baada ya kuzindua zoezi la sensa ya miti
(woody Biomass Survey) katika hifadhi ya Taifa ya msitu wa Jozani
jana,(kulia) Naibu waziri wa Kilimo na Maliasili, Mtumwa Kheir Mbaraka, na
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Maliasili Affani Othman Maalim,(kushoto).Picha
na Ramadhan Othman Ikulu.
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment