Ajali
mbaya imetokea eneo la ILEMI Jijini MBEYA muda huu ambapo gari aina ya TOYOTA
LANDCRUISER iliyokuwa ikitokea Wilaya ya Chunya, imegonga watu watatu na kufariki papo hapo na huyu ni
mmoja kati ya watu hao waliogongwa.
MJUMBE MAALUMU WA AU, KIKWETE AREJESHA MATUMAINI SUDAN KUSINI
-
Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na
Bahari ya Sham, Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amekutana na
Rais Sa...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment