Ajali
mbaya imetokea eneo la ILEMI Jijini MBEYA muda huu ambapo gari aina ya TOYOTA
LANDCRUISER iliyokuwa ikitokea Wilaya ya Chunya, imegonga watu watatu na kufariki papo hapo na huyu ni
mmoja kati ya watu hao waliogongwa.
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO, SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI JESHI LA POLISI
WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo limefanya kikao maalum na uongozi wa Shirika
la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi ambalo linatoa huduma za ulinzi
katika sok...
33 minutes ago

No comments:
Post a Comment