Msanii wa Filam nchini, Aunt Ezekiel, akinyoosha kidole kuzuia kamera ya sufianimafoto kumnasa, wakati akipata Supu ya asubuhi katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar es Salaam jana, huku akiwa na mtoto wake mdogo.
ATE YATOA ELIMU NA MSAADA WA ‘PEDI’ KWA MABINTI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO
DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAASISI ya Afya na Tumaini Endelevu (ATE) imetoa elimu ya afya ya hedhi kwa
wasichana wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jij...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment