Kijana akifua nguo yake katika dimbwi la maji mchafu yaliyotuama bila kujali kuwa naweza kupatwa na magonjwa ya mlipuko kama alivyonaswa na kamera ya sufianimafoto, hivi karibuni eneo la Nyerere Square mjini Dodoma.
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
1 week ago
No comments:
Post a Comment