Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete, akiwatoka mabeki wa Tanzania, Prisons, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara mzunguko wa pili, unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam., ambapo Jerry, ameifungia timu yake bao la 3 katika dakika ya 82.
OFISI ZA ARDHI ZAPATIWA VIFAA VYA TEHAMA 1,429 KUBORESHA UTENDAJI
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo,
amekabidhi jumla ya vifaa vya TEHAMA 1,429 vyenye...
21 minutes ago

No comments:
Post a Comment