Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete, akiwatoka mabeki wa Tanzania, Prisons, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara mzunguko wa pili, unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam., ambapo Jerry, ameifungia timu yake bao la 3 katika dakika ya 82.
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
22 hours ago

No comments:
Post a Comment