Mwalimu wa Shule ya Sekondari Kawe Ukwamani, jijini Dar es Salaa, Peter John (wa nne kushoto mwenye suruali) akiwaelekeza baadhi ya wanafunzi walioripoti shuleni hapo leo asubuhi kwa ajili ya kuanza muhula wa masomo ya Sekondari baada ya kufalu mtihani wa darasa la saba wa 2012 na kuchaguliwa kujiunga na shule hiyo. Wanafunzi wote waliochanguliwa kujiunga na masomo ya Sekondari Kidacho cha kwanza, na wale wa sekondari waliokuwa mapumzikoni, wametakiwa kuripoti shuleni hii leo kote nchini. Picha na www.sufianimafoto.blogspot.com
ATE YATOA ELIMU NA MSAADA WA ‘PEDI’ KWA MABINTI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO
DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAASISI ya Afya na Tumaini Endelevu (ATE) imetoa elimu ya afya ya hedhi kwa
wasichana wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jij...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment