Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima (kulia) akijaribu kumhadaa beki wa Black Leopard, Ernort, wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa kirafiki, unaoendeea muda huu katika Uwanja wa Taifa. Hadi sasa Yanga inaongoza kwa mabao 3-1, bao la pili la Yanga limefungwa na Frank Dumayo na bao la tatu limewekwa kimiani na Jerry Tegete katika kipindi cha pili.
MAGEUZI SEKTA YA MADINI: TANZANIA YAINGIA KWENYE RAMANI YA DUNIA
-
Sekta ya madini nchini imepiga hatua kubwa ya kihistoria baada ya Tanzania
kuingia rasmi kwenye orodha ya mataifa yenye akiba kubwa ya madini barani
Afr...
13 minutes ago

No comments:
Post a Comment