Habari za Punde

*KINANA AMALIZA ZIARA YA KIBONDO LEO KWA KUMPOKEA KABWE WA CHADEMA CCM

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Ushirika mjini Kibondo, Februari 1, 2013, ikiwa ni sehemu ya sherehe za maadhimisho ya miaka 36 ya CCM ambazo kilele chake kitafanyika Jumapili hii, kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimkabidhi kadi ya CCM Yohana Kabwe, baada ya kutangaza kuhama Chadema, kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika Uwanja wa Ushirika mjini Kibondo mkoani Kigoma.
  Kiana akipiga sarakasi mbele ya wananchi waliokuwa kwenye mkutano wa hadhara wa CCM, mjini Kibondo.
Kinana akikagua mitambo ya mradi wa umeme wa Tanesco, wilayni Kibondo mkoani Kigoma.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.