Habari za Punde

*KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO, HAMIS KIGWANGALA AWASILISHA HOJA BINAFSI

 Waziri wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akifafanua hoja ya Serikali ya Mfuko wa  Mikopo kwa Vijana  wakati wa kikao cha bunge mjini Dodoma, leo.
 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Job Ndugai, akitoa miongozo mbalimbali Bungeni leo.
 Ester Bulaya (Viti maalumu ) na  Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Kikwajuni) kulia wakielekea ndani ya Ukumbi wa Bungeleo Dodoma.
 Mnadhimu Mkuu wa Upinzani Bungeni Tundu Lissu (kushoto) akizungumza na baadhi wa wabunge wa kambi ya upinzani baada ya majadiliano ya  hoja binafsi iliyoletwa Bungeni na Dk. Hamis Kigwangala (hayupo pichani).
 Mbunge wa (Ubungo) John Myika akiwasilisha hoja binafsi juu ya kuboresha upatikanaji wa maji safi na ushughulikiaji wa maji taka katika jiji la Dar es salaam Bungeni leo.
 Mbunge  Hamis Kigwangala (Nzegakulia) pamoja na Juma Nkamia (KondoaKusini) wakiunga mkono hoja Bungeni leo.
 Baadhi ya wabunge wakielekea ndani ya ukumbi wa Bunge leo Dodoma. Picha Zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.