Habari za Punde

*RAIS KIKWETE AKABIDHI BAJAJI KWA MLEMAVU MJINI DODOMA LEO

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi bajaji mpya mlemavu wa miguu ambaye ni mfanyakazi wa TANROADS Bi.Sarah Nalingigwa Nkumbo. Makabidhiano hayo yalifanyika Ikulu mjini Dodoma leo asubuhi. Kulia ni Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli.Wapili kushoto ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete na kushoto ni mkurugenzi Mkuu wa TANROADS Injinia Patrick Mfugale. Bi. Sarah ambaye ni Mfanyakazi wa TANROADS mkoani Singida alikabidhiwa Bajaji hiyo ikiwa ni ahadi ya Rais alipokuwa akifungua Barabara ya Manyoni- Itigi    Picha na Freddy Maro

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.