Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete (katikati) akiwatoka mabeki wa African Lyon, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara unaoendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga inaongoza kwa mabao 2-0 yote yakifungwa na Jerry Tegete.
TANZANIA YACHAGULIWA MRATIBU AJENDA YA CLIMATE MOBILITY
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akihutubia Mkutano
kuhusu Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Global Climate
Mo...
18 minutes ago

No comments:
Post a Comment