Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete (katikati) akiwatoka mabeki wa African Lyon, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara unaoendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga inaongoza kwa mabao 2-0 yote yakifungwa na Jerry Tegete.
PSSSF YAWAKARIBISHA WANANCHI KUPATA HUDUMA NA ELIMU NANENANE
-
* AFISA Kumbukumbu za Wanachama wa Mfuko wa PSSSF Bw. Alex Bwanakunu
(kulia) akimsikiliza mwananchi aliyetembelea Banda la PSSSF kwenye Maonesho
ya Nanen...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment