Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete (katikati) akiwatoka mabeki wa African Lyon, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara unaoendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga inaongoza kwa mabao 2-0 yote yakifungwa na Jerry Tegete.
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment