Habari za Punde

*UCHAGUZI MKUU WA TAVA


Tanzania Volleyball Association

        P.O Box 10496, DAR ES SALAAM – TANZANIA EMAIL-tavatanzania@yahoo.com

 

Affiliated to National Sports Council, Member of Tanzania Olympic Committee
Member of Africa Volleyball Confederation, Member of Federation International de volleyball
                                                                                                                                                                                  1st   May 2013
 REF TAVA/ADM/CONG/C-3/13 

                    WARAKA NAMBA -3 

-WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI.
-KATIBU MKUU BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA.(BMT)
-KATIBU MKUU KAMATI YA OLYMPIKI TANZANIA (TOC)
-MKURUGENZI WA  MAENDELEO YA MICHEZO
-WENYEVITI NA MAKATIBU WA VYAMA VYA MIKOA ILIYOJISHIRIKISHA NA TAVA.

YAH. TAARIFA MUHIMU KUHUSU  MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI WA TAVA.

1.Fomu za maombi ya wagombea
-Fomu za wagombea zitaanza kuuzwa  tarehe 2/5/2013  saa 2 asubuhi na mwisho w a fomu hizo kuuzwa itakuwa tarehe 15/5/2013 saa kumi jioni.
-Fomu hizi zitapatikana BMT, TAVA na kwa Makatibu wote wa vyama vya mikoa,
-Wagombea wa nafasi za Mwenyekiti ,Makamu wenyeviti, Katibu mkuu na Katibu mkuu msaidizi fomu zao  zitauzwa kwa shilingi laki moja na nusu (150,000)
-Wagombea wa nafasi 8  za wajumbe watanunua fomu kwa shilingi laki moja (100,000)
-Mgombea atalipia ada ya fomu ya nafasi anayoitaka EXIM BANK, TANZANIA VOLLEYBALL ASSOCIATION ACC. NO.0301381117.
-Mgombea atapewa Bank slip ambayo ataiwasilisha na kupewa fomu, atayoijaza na baadaye  kuiscan pamoja  na bank slip na kuituma TAVA- E mail tavatanzania@yahoo. Com kabla au tarehe 15/5/2013 saa kumi jioni
-Siku ya Usaili wa wagombea itakuwa tarehe 16/5/2013 kuanzia saa 4 asubuhi Katika hoteli ya Mkonge jijini Tanga.
-Tarehe 17/5/2013 Kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 12 jioni  wagombea wataendelea na kampeni zao.

2.Sifa za wagombea
-Maombi ya mgombea yapitishwe na chama cha  mpira wavu cha mkoa  kilicho mwanachama wa TAVA

-WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI.
-KATIBU MKUU BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA.(BMT)
-KATIBU MKUU KAMATI YA OLYMPIKI TANZANIA (TOC)
-MKURUGENZI WA  MAENDELEO YA MICHEZO
-WENYEVITI NA MAKATIBU WA VYAMA VYA MIKOA ILIYOJISHIRIKISHA NA TAVA.

YAH. TAARIFA MUHIMU KUHUSU  MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI WA TAVA.

1.Fomu za maombi ya wagombea
-Fomu za wagombea zitaanza kuuzwa  tarehe 2/5/2013  saa 2 asubuhi na mwisho w a fomu hizo kuuzwa itakuwa tarehe 15/5/2013 saa kumi jioni.
-Fomu hizi zitapatikana BMT, TAVA na kwa Makatibu wote wa vyama vya mikoa,
-Wagombea wa nafasi za Mwenyekiti ,Makamu wenyeviti, Katibu mkuu na Katibu mkuu msaidizi fomu zao  zitauzwa kwa shilingi laki moja na nusu (150,000)
-Wagombea wa nafasi 8  za wajumbe watanunua fomu kwa shilingi laki moja (100,000)
-Mgombea atalipia ada ya fomu ya nafasi anayoitaka EXIM BANK, TANZANIA VOLLEYBALL ASSOCIATION ACC. NO.0301381117.
-Mgombea atapewa Bank slip ambayo ataiwasilisha na kupewa fomu, atayoijaza na baadaye  kuiscan pamoja  na bank slip na kuituma TAVA- E mail tavatanzania@yahoo. Com kabla au tarehe 15/5/2013 saa kumi jioni
-Siku ya Usaili wa wagombea itakuwa tarehe 16/5/2013 kuanzia saa 4 asubuhi Katika hoteli ya Mkonge jijini Tanga.
-Tarehe 17/5/2013 Kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 12 jioni  wagombea wataendelea na kampeni zao.
  
2.Sifa za wagombea
-Maombi ya mgombea yapitishwe na chama cha  mpira wavu cha mkoa  kilicho mwanachama wa TAVA
-Mgombea awe anaweza kuandika na kuongea kingereza na Kiswahili
-Mgombea wa mara ya kwanza asiwe chini ya umri wa miaka 30 na zaidi ya umri wa miaka 60
-Awe na elimu angalau ya  kidato cha nne.
-Awe ni mtu maarufu katika familia ya mpira wa wavu
-Awe na uwezo wa kutekeleza majukumu na shuguli za TAVA
-Kwa nafasi ya Mwenyekiti, Makamu wenyeviti ,Katibu mkuu na katibu mkuu msaidizi mgombea awe amewahi kuwa mjumbe wa bodi ya TAVA angalau kwa kipindi kimoja.
-Mgombea awe na muda wa kutosha kutekeleza majukumu ya TAVA , angalau siku 30 kwa mwaka katika nyakati tofauti.
Mgombea asiwe amewahi kusimamishwa au kufukuzwa na TAVA, Chama cha mkoa , chama chochote kingine cha michezo au shirikisho lolote la mchezo la kimataifa.

3.Mkutano mkuu wa uchaguzi.

-Tarehe 17/5/2013 saa 12 jioni Wajumbe wa mkutano mkuu kuwasili jijini Tanga
-Tarehe 18/5/2013 saa 3 asubuhi mkutano kufunguliwa rasimi.
-Tarehe 19/5/2013 Wajumbe kuondoka kuelekea makwao.

4. Gharama za mkutano
-TAVA Itagharimia chakula cha mchana kwa wajumbe wote  tarehe 18/5/2013 siku ya mkutano.
 Chama  cha  mkoa kiwalipie wajumbe  wake  malazi, na nauli zao za kwenda na kurudi.

-TAARIFA HII IMETOLEWA  NA   AUGUSTINO ISRAEL AGAPA-MWENYEKITI WA TAVA.
SIMU 0713338744  / 0788255858.
E mail  - agustinoagapa@yahoo.com
*****************************************
Affiliated to National Sports Council, Member of Tanzania Olympic Committee
Member of Africa Volleyball Confederation, Member of Federation International de volleyball

KUMB.  TAVA/ADM/ 06/13                                                                   April 15, 2013
- WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
-KATIBU MKUU BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA(BMT)
-MKURUGENZI WA MAENDELEO YA MICHEZO
-KATIBU MKUU KAMATI YA OLYMPIKI TANZANIA.

YAH:  MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI WA TAVA

.TAREHE.                                           - 18/5/2013
.MAHALI                                            - Mkonge Hoteli Tanga
.WAJUMBE.                                       -Wenyeviti na makatibu wa vyama vya mikoa  
                                                                Vilivyojishirikisha na TAVA
                                                            -Wajumbe wa kamati ya utendaji wanaomaliza muda wao
.NAFASI ZITAKAZOGOMBEWA.- Mwenyekiti
                                                            -Makamu wa kwanza mwenyekiti mipango na maendeleo
                                                            -Makamu wa pili mwenyekiti fedha na utawala
                                                            -Katibu mkuu
                                                            -Naibu katibu mkuu
                                                            -Mwenyekiti kamati ya ufundi
                                                            -Mwenyekiti kamati ya maendeleo ya shule na vyuo

Affiliated to National Sports Council, Member of Tanzania Olympic Committee
Member of Africa Volleyball Confederation, Member of Federation International de volleyball
  
KUMB.  TAVA/ADM/ 06/13                                                                   April 15, 2013

- WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
-KATIBU MKUU BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA(BMT)
-MKURUGENZI WA MAENDELEO YA MICHEZO
-KATIBU MKUU KAMATI YA OLYMPIKI TANZANIA.
  
\YAH:  MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI WA TAVA

.TAREHE.                                           - 18/5/2013
.MAHALI                                            - Mkonge Hoteli Tanga
.WAJUMBE.                                       -Wenyeviti na makatibu wa vyama vya mikoa  
                                                                Vilivyojishirikisha na TAVA
                                                            -Wajumbe wa kamati ya utendaji wanaomaliza muda wao
.NAFASI ZITAKAZOGOMBEWA.- Mwenyekiti
                                                            -Makamu wa kwanza mwenyekiti mipango na maendeleo
                                                            -Makamu wa pili mwenyekiti fedha na utawala
                                                            -Katibu mkuu
                                                            -Naibu katibu mkuu
                                                            -Mwenyekiti kamati ya ufundi
                                                            -Mwenyekiti kamati ya maendeleo ya shule na vyuo

  Augustino Israel AGAPA
  Rais  wa TAVA
Simu 0713 338744/0788255858

Nakala-. Katibu mkuu  Baraza la michezo la Taifa(BMT)





No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.