Habari za Punde

*BARABARA YA KINONDONI KUTOKEA MANYANYA YAFANYIWA UKARABATI

Wafundi wakiongoza magari katika barabara ya Kinondoni, wakati wakiifanyia marekebisho barabara hiyo iliyokuwa ikisababisha foleni kubwa kutokana na kuwa na mashimo mengi. Barabara hiyo hivi sasa imekamilika.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.