Habari za Punde

*DKT. KAMALA AHITIMISHA KIKAO CHA MBALOZI WA AFRIKA UBELGIJI

Mwenyekiti wa Mabalozi wa Afrika  Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akihitimisha  Kikao cha Mbalozi wa Afrika Ubelgiji. Balozi Kamala amewaalika Mabalozi wa Afrika na Wadau wengine wa maendeleo kuhudhuruia Mkutano wa Ushirikiano kwa Manufaa wa Wote utakaofanyika Tanzania kuanzia tarehe 28/06/2013 hadi tarehe 1/07/2013. Aidha, alizitaka nchi za Afrika na Ulaya kuimarisha Ushirikiano katika sekta ya teknolojia.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.