Habari za Punde

*CHATU ALIYEKUWA ANATISHIA MAISHA YA WANANCHI ANASWA JIJINI MBEYA

Mtaalamu wa Kukamata Nyoka, Takribani Miezi Miwili baada ya Mbeya FM Redio Kuripoti uwepo wa Chatu ndani ya Jiji la Mbeya Kukazuka Hofu na Sintofahamu kwa Wakazi wa Jiji.
Wananchi wa Mbeya walijitokeza kwenye Ofisi za Jiji la Mbeya kushuhudia. Cheki Video hii tukio zima la sakata hilo. 

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.