Menu

Tuesday, May 20, 2014

*CHATU ALIYEKUWA ANATISHIA MAISHA YA WANANCHI ANASWA JIJINI MBEYA

Mtaalamu wa Kukamata Nyoka, Takribani Miezi Miwili baada ya Mbeya FM Redio Kuripoti uwepo wa Chatu ndani ya Jiji la Mbeya Kukazuka Hofu na Sintofahamu kwa Wakazi wa Jiji.
Wananchi wa Mbeya walijitokeza kwenye Ofisi za Jiji la Mbeya kushuhudia. Cheki Video hii tukio zima la sakata hilo. 

No comments:

Post a Comment