Habari za Punde

*KINANA AWASILI KALIUA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchanganya udongo wakati wa ujunzi wa nyumba ya Daktari wa Zahanati katika kijiji cha Usindi.
 Katibu Mkuu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akiongozana na Mbunge wa Jimbo la Urambo Magharibi  Profesa Juma Kapuya baada ya kumaliza ukaguzi wa jengo la Zahanati ya Kijiji cha Usindi.
 Wakina Mama wa wilaya ya Kaliua wakielekea kwenye eneo la mkutano ambapo Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Abdulrahman Kinana anatazamiwa kuhutubia.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.