Mshambuliaji wa Ngorongoro Heroes, Kelvin Friday (kushoto) akijaribu kumtoka mchezaji wa Nigeria, wakati wa mchezo wa kuwania tiketi ya kucheza michuano ya Afrika kwa timu za chini ya Umri wa miaka 20. Mchezo huo unaendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, na bado matokeo ni 0-0.
RIPOTI YA JAJI CHANDE: BABY MADAHA AFUNGUKA MAZITO, ACHAGIZA UWAJIBIKAJI
KUPONYA TAIFA
-
Mwanadada Baby Madaha, ambaye si tu ni msanii mwenye historia ndefu, bali
pia ni mdau aliyeshiriki kikamilifu katika kutoa ushahidi mbele ya tume
Tume ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment