Habari za Punde

*KUNDI LA 'FACEBOOK BONGO DANSI' LASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA MMOJA


Mwimbaji wa bendi ya Vijana Jazz Komweta Maneti kushoto akiserebuka na wana bongo Dansi wakati wa onesho lao.
Baadhi ya wanaounda kundi la 'Bongo Dansi' wakiwa katika picha ya pamoja na wanamuziki wa bendi ya Vijana Jazz wakati wa hafla ya kusherehekea mwaka mmoja wa kundi hilo tangu lilipoanzishwa kwenye mtandao wa kijamii wa fecebook ambapo kundi hilo mpaka sasa lina wanachama zaidi ya 3,086 ambao ni mashabiki wa bendi mbalimbali za muziki ya dansi hapa nchini.
Mpiga tumba wa bendi ya vijana jazz Ally Rajabu kushoto na Mpiga drams wa bendi hiyo Samata Hassani waki wajibika wakati wa onesho lao.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.