Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi ya kinyago mchezaji veterani wa timu Real Madrid Luis Figo wakati wa hafla ya chakula cha jioni aliyowaandalia wachezaji wa timu hiyo na timu ya maveterani ya Taifa Stars ikulu jijini Dar es Salaam jana usiku baada ya mechi ya kirafiki ambapo Real Madrid illifungaTaifa Stars 3-1 katika uwanja wa Taifa. Picha na Freddy Maro
Rais Samia aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini
Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es
Salaam,...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment