Habari za Punde

*WAMBURA AKABIDHIWA HUNDI YA SH. MIL 1 KWA UCHEZAJI BORA WA MWEZI FEB

 Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi ya Vodacom, Fatuma Abdallah (wa tatu kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja mchezaji wa Coastal Union, Godfrey Wambura,  baada ya kuibuka mchezaji bora wa mwezi wa pili mwaka 2015, (kulia) ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Khalid Abdallah na (kushoto) ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Coastal Union, Salim Bawaziri. Makabidhiano hayo yalifanyika jana jijini Tanga. Picha kwa hisani ya Coastal Union.
Kocha Julio akimpongeza mchezaji wake.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.