Shangwe za nguvu wakati Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ikiwasili uwanjani hapo.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, alieambatana na Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Fredrick Sumaye, wakiwasili kwenye Uwanja wa Barafu, Mjini Dodoma.










No comments:
Post a Comment