Waziri wa Fedha Saada
Mkuya Salum akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali na
wajumbe kutoka Benki ya Exim ya Korea baada ya kusaini hati ya mkataba wa
makubaliano ya mkopo wa Dola za Kimarekani milioni 91.032 ambazo ni sawa na Sh.
Bilioni 154.39 za Kitanzania zilizotolewa na Benki ya Exim ya Korea kwa ajili
ya ujenzi wa daraja la Salenda jijini Dar es salaam. Picha na Eleuteri
Mangi-MAELEZO
RC BATILDA, MWANAFA WAKOSHWA NA 'HALE FESTIVAL'
-
📍WAHIMIZA ENZI ZA TX MOSHI WILLIAM KUTUMIKA KUIBUA VIPAJI
NA MASHAKA MHANDO, Korogwe
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian, amemwagia ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment