Habari za Punde

*BALOZI WA UTURUKI NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kushoto)akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Bi. Yasemin ERALP , alipofika Ofisini kwake jijini Dar es Salaam, leo mchana. Waziri Nape alimsihi Balozi huyo kuwekeza katika Nyanja mbalimbali za Filamu, Michezo na kubadilishana ujuzi katika sekta ya Habari n akumwahidi ushirikiano ulio bora kati ya nchi hizo mbili
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kushoto) akiagana na Balozi wa Uturuki nchini Bi. Yasemin ERALP, baada ya maongezi yao yaliyofanyika Ofisini kwake jijini Dar essalaam, leo. Waziri Nape ali msihi Balozi huyo kuwekeza katika Nyanja mbalimbali za Filamu, Michezo na kubadilishana ujuzi katika sekta ya Habari na kumwahidi ushirikiano ulio bora kati ya nchi hizo mbili.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.