Habari za Punde

*WANAHABARI WALIA NA UKOSEFU WA MIKATABA.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Bi. Wamoja Ayubu (Kushoto) akipokea moja ya Ipad toka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel kwa msaada wa kampuni ya Star Times kwa ajili ya Maafisa Habari wa Mkoa na Halmashauri za Mkoa wa Iringa. 
Uwanja wa Kisasa uliojengwa na Kituo cha Michezo cha Iringa Footbal For Hope kwa ufadhili wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kwa ajili ya kukuza vipaji vya watoto na kuwafikishia vijana kwa kuwapa elimu ya Afya kupitia michezo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.