Usafiri wa DART umekuwa mkombozi kwa wasafiri wengi wa jiji la Dar es salaam wakati wanapotoka majumbani mwao na kuelekea kazini na kurejea majumbani mwao. Katikati ni Bw. David Mwaibula aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Usafiri wa Daladala Dar es salaam (DRTLA) aliyeambatana na Waziri Mkuu kukagua mradi huo leo.
Mbunge wa Ulanga Aomba Serikali Kujenga Barabara ya Lupiro–Mahenge
-
Na Farida Mangube
Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hashim, ameiomba Serikali
kuharakisha ujenzi wa kipande cha barabara ya Lupiro–Mahenge, akis...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment