Inabidi wakati mwingine dada zetu mjiangalie na mavazi na maeneo mnayotakiwa kwenda. Mipasuo na Vishanga vya miguuni vya nini Bungeni? Mitego mitaani sasa hadi Bungeni!, hawa ni miongoni mwa wanafunzi wa chuo cha Uandishi wa habari cha Tumaini waliofika kutembelea na kujionea shughuli za bunge mjini Dodoma
JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI NA MADARASA SHULE YA SEKONDARI DK.
SELEMANI JAFO
-
*MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akikagua ujenzi wa
mabweni mawili na madarasa katika Shule ya Sekondari Dkt.Selemani
Jafo,wakati wa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment