Inabidi wakati mwingine dada zetu mjiangalie na mavazi na maeneo mnayotakiwa kwenda. Mipasuo na Vishanga vya miguuni vya nini Bungeni? Mitego mitaani sasa hadi Bungeni!, hawa ni miongoni mwa wanafunzi wa chuo cha Uandishi wa habari cha Tumaini waliofika kutembelea na kujionea shughuli za bunge mjini Dodoma
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment