Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akitunuku Nishani ya Mapinduzi yaviongozi na Wananchi Wenye Sifa Maalum Bi. Fatma Said Ali, wakati wa hafla hiyo iiliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar, leo mchana.
Dkt Shein akimtunuku Nishani, Salum Nassor Said (MKWECHE)
Dkt. Shein akimtunuki Nishani, Msanii Maarufu wa Taarab Zanzibar Mwanacha Hassan Kijore.
Dkt. Shein, akimtunuku Nishani ya Utumishi wa Serikali Saleh Sadik Osman,
Dkt. Shein, akisalimiana na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, wakati wa hafla hiyo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na watunukiwa wa Nishani za Mapinduzi na Utumishi wa Serikali baada ya hafla hiyo ya kukabidhi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha na Wawakilishi na Ndugu na Jamaa wa Viongozi marehemu waliofika mbele ya haki wakipokea kwa niaba ya Wazee wao,Nishani za Mapinduzi na Utumishi wa Serikali baada ya hafla hiyo ya kukabidhi iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar. Picha na Ikulu
No comments:
Post a Comment