Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza wizara ya maliasili na utalii kuunda chombo kitakachomamia maeneo yenye fukwe, ili kulinda maeneo hayo yaweze kuvutiwa na watalii wakigeni wanaokuja katika maeneo hayo. Waziri mkuu ameyasema hayo wakati wa kufunga tamasha la utalii lililofanyika Mabamba Bay wilayani ya NYASA mkoani Ruvuma.
WAZIRI MKUU: TUEPUKE MIGOGORO NA MIZOZO
-
-Asema kuna miradi inakwama utekelezaji sababu ya migawanyiko
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa Mamlaka za Serikali
za Mitaa waepuke m...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment