Baadhi ya mashabiki wakiwa hawaamini kilichotokea baada ya Kamisaa kuonesha kibao zikiwa zimesalia dakika Nne.
Shabiki Mhamasishaji akisherehesha
Kikosi cha kwanza cha Taifa Stars
Iddi Nado akimiliki mpira
Nado akimtoka beki wa Sudan, Atahir Babikir
Iddi Nado akimiliki mpira...
Gadiel Michael akipambana na Yasir Mozamil
Gadiel Michael akiruka kukwepa kwanja la beki wa Sudan
Mshambuliaji wa Stars, Ayubu Lyanga, akimtoka beki wa Sudan
Kikosi cha Sudan












No comments:
Post a Comment