Kibajaji kikiteketea kwa moto katika eneo la Mwenge nje ya kituo cha daladala jijini Dar es Salaam jana, chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja kutokana na Bajaji hiyo kuanza kuwaka moto yenywe taratibu, hadi kuteketea chote
Askofu Mwankenja ahimimiza watanzania kupiga kura Oktoba 29
-
Na Mwandishi Wetu
Askofu wa Kanisa la Furahini katika Bwana la jijini Dar es Salaam
Dkt.Ezekiel Mwankenja amesema kuwa Watanzania kujitokeza katika kupiga ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment