Diwani wa kata ya Lugarawa wilaya ya Ludewa mkoani Iringa, Fromena Haule akipokea kombe litakaloshindaniwa katika kata yake katika mashindano ya mbunge Deo Filikunjombe wa jimbo hilo ambapo mshindi atapata kombe hilo la dhahabu na Ng'ombe mashindano kama hayo ni kwa kata zote za jimbo hilo.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment