Habari za Punde

*MASHINDANO YA KUCHORA-KUSANYA MAONI

Image Profession (iP), inatarajia kutangaza muhula wa pili wa mashindano ya uchoraji yenye nia ya kuchochea tabia za kupenda kujihusisha na sanaa ya uchoraji na kuibua vipaji vya uchoraji.Mashindano yatashindanisha washiriki kutoka Taasisi za kielimu kwa makundi manne:-

1. Shule za awali/Nusery Schools
2. Shule za Msingi/Primary Schools
3. Shule za Sekondari/Secondry Schools
4. Taassi za Elimu ya Juu/Higher Learn Institutions


Tunakusanya maoni ya namna nzuri ya kuboresha mashindano haya na kuyafanya yawe ya kuvutia na washiriki wengi zaidi katika makundi husika.


Kwa ushauri,maoni na mapendekezo tuwasiliane kwa:-

Barua Pepe:info@imageprofession.com
Simu Office: +2
55222664740
Simu Kiganja: +255716430084,+255766248372 au +255653029037




Fredrick N.Roy
Image Profession
Mratibu wa Mashindano
P.O.Box 92
Dar es salaam
Tanzania

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.