Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Balozi wa Canada nchini, Bw Robert J. Orr, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu ya Dar es salaam leo kwa ajili ya kuagana naye baada kumaliza muda wake wa kazi nchini. PICHA NA IKULU
MAJALIWA: VIJANA CHANGAMKIENI FURSA ZINAZOTOKANA NA MAENDELEO YA KIDIJITALI
-
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka vijana wachangamkie fursa
zinazotokana na maendeleo ya teknolojia katika kujipatia kipato na
kushiriki kukuza Uchumi...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment