Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsalimia, Hamid Ameir Ali, ambaye ni Waziri Mstaafu na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakati alipofika kumjulia hali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja mjni Zanzibar jana Desemba 20, 2012, alikolazwa kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya malaria na Kifua.
SERIKALI KUBORESHA MAZINGIRA YA VIJANA KATIKA ELIMU, UJASIRIAMALI NA AJIRA
-
Na. Ramadhani Kissimba na Saidina Msangi, WF, Mwanza.
Serikali imewahakikishia vijana wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali
nchini kuwa itaendelea kui...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment