Habari za Punde

*KASEBA, MASHALI WAPIMA UZITO KUZICHAPA KESHO JUMAMOSI PTA SABASABA

Bondia Japhert Kaseba, akipima uzito na mpinzani wake Thomas Mashali, kwa ajili ya pambano lao la ubingwa litakalofanyika ukumbi wa PTA Sabasaba kesho Jumamosi.
Mabondia Thomasi Mashali (kushoto) na Japhert Kaseba wakiwa na mkanda wao watakaogombania kesho katika ukumbi wa PTA Sabasaba kesho. 
Promota wa pambano hilo Ally Mwazoa, akizungumza na waandishi wa habari, baada ya kupima uzito.
Mabondia Alani Kamote wa Tanga (kushoto) na Karage Suba wakiwa na mkanda watakaougombania kesho kwenye ukumbi wa PTA Sabasaba katika moja ya mapambano ya utangulizi.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.