Habari za Punde

*MASHALI AMGALAGAZA KASEBA KWA POINTI

 Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikwepa konde la Japhet Kaseba, wakati wa pambano lao kuwania Ubingwa wa WBO uliofanyika kwenye ukumbi wa UBO Africa Mashali.  Sabasaba jijini Dar es Salaam. Katika pambano hilo Mashali alimshinda mpinzani wake kwa Pointi. 
 Japhet Kaseba (kushoto) akiwa na mpinzani wake, Jamhuri Kaseba,
Mashali, akipozi na mikanda yake baada ya kukabidhiwa mkanda mmoja usiku huu.
Mabondia Japhert Kaseba (Thomas Mashali) wakipambana wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba kugombania ubingwa wa UBO Africa Mashali. Mashali alishinda kwa Pointi
KWA MATUKIO ZAIDI YA PAMBANO HILI NA YA UTANGULIZI PAMOJA NA VIDEO YA PAMBANO LA KASEBA NA MASHALI, ZITAKUJIA BAADAYE.

1 comment:

  1. You can also visit the Soundcloud Promotions
    blog for free tips and tricks to become a successful
    musician through promoting yourself online. Nu Folk runs head-on into traditional folk in this
    premier release by 'Son of Eagle'. So much users
    are disposed more hosting infinite and May parcel out their
    tracks or recordings to More groups and users, make sets of recordings, and More thoroughly dog the statistics for for
    each one of their tracks.

    ReplyDelete

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.