Habari za Punde

*MVUA KUBWA NA UPEPO MKALI YA USIKU WA KUAMKIA LEO YAZUA BALAA ENEO LA MWENGE

 Magari yakipishana kwa tabu eneo la Mwenge TRA, baada ya mti kuanguka kwa upepo katikati ya barabara hiyo kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo.
 Foleni kubwa ya magari iliyosababishwa na kuanguka kwa mti huo katika barabara ya TRA eneo la Mwenge jijini Dar leo.
Magari yalilazimika kutumia njia moja baada ya eneo hilo kuzibwa na mti huo uliodondoka kwenye eneo la barabara.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.