Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal, akipanda mti wa Mwembe
nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal, akipanda mti wa Mwembe
nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti. Wa pili (kulia) ni Mkurugenzi wa Mazingira Dkt. Ningu.
Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Makamu wakati akizungumza nao.
Umakini wa kumsikiliza Bosi.....






No comments:
Post a Comment