Mtoto
wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti,
Mwenyekiti wa UWT ambaye pia ni Kaimu Katibu wa CCM wa Tabata Relini, Shahani
Mtwawa, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga
Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa
Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za
Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake mgeni
rasmi huyo, aliahidi kuiboresha Ofisi hiyo ya Serikali ya Mtaa wa Tabata kwa
kununua Fenicha za ofisi zisizopungua gharama ya Sh. M 1.5.
Mtoto
wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Vifaa vya
michezo (Jezi na Mpira) Katibu Mwenezi
wa Kata ya Tabata Relini, Ramadhan Mazongera, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa
ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa
Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika
mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar
es Salaam.
Mtoto
wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Vifaa vya
Michezo (Jezi na Mpira) Mwakilishi wa Tawi la CCM la Mti Mgandisho Tabata,
Bakari Mpakala, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru
Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa
huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi
za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam.
Mtoto
wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akikabidhi Meza na Viti,
kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa
Tabata, Elisante Msangi (kulia) wakati
wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM,
waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya
Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya
Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam.
Mtoto
wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti, Katibu
CCM Tawi la Tabata, Siza Mazongela, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa
ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa
Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika
mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar
es Salaam.
Mtoto
wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akisaini katika kitabu
cha wageni, mara tu baada ya kuwasili kwenye ofisi hizo.
Katibu CCM Tawi la Tabata, Siza Mazongela, akizungumza kumkaribisha mgeni rasmi wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata.
Baadhi
ya kinamama wa CCM wakiserebuka wakati wa sherehe hiyo.
Mtoto
wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimtunza mwimbaji wa
kundi la Segere lililokuwa likitoa burudani, wakati wa Sherehe maalum
iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha
kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe
hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya
Tabata, jijini Dar es Salaam.
Wasanii
wa kundi la Segere wakiimba wakati wakitoa burudani katika Sherehe maalum
iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha
kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe
hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya
Tabata, jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya kinamama wa CCM wakiserebuka wakati wa sherehe hiyo.












No comments:
Post a Comment