Habari zilizotufikia mtandaoni muda huu, zinasema kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, al maaruf kama Mez B aliyewahi kutamba na kibao chake 'Kikuku', na nyinginezo miaka ya nyuma, amefariki dunia huko mkoani Dodoma alikokuwa amelazwa akiumbuliwa na ugonjwa wa Homa ya Mapafu.
TUTAENDELEA KUWAFIKISHI TAARIFA KADRI ZITAKAVYOKUWA ZIKITUFIKIA, KAA NASI
No comments:
Post a Comment