Habari za Punde

*COMORO YAKUBALIANA NA TANZANIA KUONGEZA IDADI YA SAFARI ZA NDEGE NCHINI KWAO

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), Charles Chacha akimsikiliza Waziri wa Masuala ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Comoro, Bi Bahiat Massoundi wakati wakifanya majadiliano ya namna ya kuongeza safari za ndege kati ya Tanzania na Comoro, walipokutana uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA), Dar es salaam.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), Charles Chacha,  akitoa maelezo kwa waandishi wa habari juu ya majadiliano ya namna ya kuongeza safari za ndege kati ya Tanzania na Comoro (kulia)ni  Balozi wa Comoro nchini Dkt Elbadaoui Fakih na Waziri wa Masuala ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Comoro Bi Bahiat Massoundi , walipokutana uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA), Dar es salam.
 Waziri wa Masuala ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Comoro Bi Bahiat Massoundi akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari  juu ya  majadiliano ya namna ya kuongeza safari za ndege kati ya Tanzania na Comoro,(Kulia) Balozi wa Comoro nchini Tanzania Dkt Elbadaoaui Fakih na  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), Charles Chacha , walipokutana uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA), Dar es salam.
 Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini wakimsikiliza , Waziri wa Masuala ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Comoro Bi Bahiat Massoundi akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari  juu ya  majadiliano ya namna ya kuongeza safari za ndege kati ya Tanzania na Comoro,(Kulia) Balozi wa Comoro nchini Tanzania Dkt Elbadaoaui Fakih na  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), Charles Chacha , walipokutana uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA), Dar es salam.
Meneja wa Viwanja vya ndege nchini Comoro, Said Ahmed Abdoulhamid akitoa ufafanuzi  juu ya masuala ya usafiri wa Anga,(Kulia)ni  Waziri wa Masuala ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Comoro Bi Bahiat Massoundi , Balozi wa Comoro nchini Tanzania Dkt Elbadaoaui Fakih na  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), Charles Chacha , walipokutana uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA), Dar es salam.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.