Mkurugenzi wa Wilaya ya Njombe,Paulo S. Makala, akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi. Illuminatha Mwenda, Mara baada ya kumaliza mbio zake ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Njombe na Halmashauri ya Mji mdogo wa Makambako, mwishoni mwa wiki iliyopita.
******************************************
Halmashauri ya Mji w Njombe wanayo furaha kubwa kuupokea, Mwenge wa Uhuru na kuukimbiza, kwa mwaka huu wa 2015.
******************************************
Halmashauri ya Mji w Njombe wanayo furaha kubwa kuupokea, Mwenge wa Uhuru na kuukimbiza, kwa mwaka huu wa 2015.
Ukiwa katika ziara yake Njombe Mwenge wa Uhuru, uliweza kuzindua jumla ya miradi 9 yenye thamani ya Shilingi
2,796,043,527.00 ikiwemo miradi 2 yenye thamani ya Shilingi 80,915,850.00 na kukagua miradi 2 yenye thamani ya Shilingi 2,019,861,000.00, iliyowekewa mawe
ya Msingi.
Mkimbiza Mwenge Kitaifa NSF Juma Khatibu Chum (kulia) akizindua Maabara ya Kemia ya Shule ya Sekondari Yakobi wakatia wa Ziara ya Mbio za Mwenge katika Halmashauri ya Mji wa Njombe mwishoni mwa wiki iliyopita. Kushoto ni Mkuu wa Shule hiyo
*****************************
*****************************
Miradi mingine yenye thamani ya Shilingi 195,701,282.00 imewekewa mawe ya
ufunguzi, na miradi 2 yenye thamani ya Shilingi 470,265,395.00 ilizunduliwa.
Bw. Khatibu, akitembelea kukagua maabara hiyo baada ya kuzindua rasmi.
*******************************
*******************************
Aidha
mikopo yenye jumla ya Tsh 29,300,000.00 imetolewa kwa vikundi 12 vya wanawake (18,000,000.00)
na vikundi 18 vya vijana (11,300,000).
Miradi hii inatekelezwa kwa kushirikisha
Wahisani, Serikali, Halmashauri na nguvu za wananchi.
Imetolewa
na
Afisa
Habari




No comments:
Post a Comment