Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa CCM Makao Makuu muda huu mjini Dodoma wakati akitangaza rasmi majina matano yaliyopitishwa na Kamati Kuu katika kikao kilichofanyika na kumalizika jana usiku.
Tano bora ya wagombea wa CCM hii hapa


No comments:
Post a Comment