Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akihutubia wakati wa hafla ya Uchangishaji fedha kwa Uhifadhi wa vyanzo vya
maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya Mtera, Kihansi, Kidatu, Nyumba ya
Mungu na Pangani. Hafla hiyo ilifanyika jana usiku Sept 28, 2015 kwenye Hoteli ya
Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Katika hafla hiyo zilipatikana jumla ya Sh. milioni 107.199
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa Mabibo Beer, Wines & Spirits na Mkurugenzi
wa VIP Engineering Marketing Ltd, Benedicta Rugemalira, wakati wa hafla ya Uchangishaji
fedha kwa Uhifadhi wa vyanzo vya maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya
Mtera, Kihansi, Kidatu, Nyumba ya Mungu na Pangani, iliyofanyika jana usiku
Sept 28, 2015 kwenye Hoteli ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya IPTL, Parthiban
Chandrasakaran, wakati wa hafla ya Uchangishaji
fedha kwa Uhifadhi wa vyanzo vya maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya
Mtera, Kihansi, Kidatu, Nyumba ya Mungu na Pangani, iliyofanyika jana usiku
Sept 28, 2015 kwenye Hoteli ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi Cheti, Mkuu wa Idara ya Fedha na Utwala wa REA, George Nchwale, wakati wa hafla ya Uchangishaji fedha kwa Uhifadhi
wa vyanzo vya maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya Mtera, Kihansi, Kidatu,
Nyumba ya Mungu na Pangani, iliyofanyika jana usiku Sept 28, 2015 kwenye Hoteli
ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi wa Sheria wa TCRA, Elizabeth Nzagi, wakati wa hafla ya Uchangishaji fedha kwa Uhifadhi
wa vyanzo vya maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya Mtera, Kihansi, Kidatu,
Nyumba ya Mungu na Pangani, iliyofanyika jana usiku Sept 28, 2015 kwenye Hoteli
ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam.
Rugemalira na mkewe, Benedicta, wakifurahia tuzo aliyokabidhiwa kwa kuwa mchangiaji namba moja katika hafla hizyo.
Mwakilishi wa RITV Redio One, akipokea Cheti
Baadhi ya wageni waalikwa katika hafla hiyo waliohudhuria.













No comments:
Post a Comment