Naibu Katibu Mkuu Ofisi
ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama
Kiliba (aliyevaa miwani) akishuhudia Majuto Alli Majuto akiendelea na kazi yake
ya kukaanga samaki aina ya pweza katika soko la samaki la Feri jijini Dar.
Vijana wakiendelea kazi ya kukaanga samaki katika soko la Feri katika mazingira ambayo hali ya usafi siyo ya kuridhisha kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji.
Vijana wakiendelea kazi ya kukaanga samaki katika soko la Feri katika mazingira ambayo hali ya usafi siyo ya kuridhisha kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji.
Kijana Hamisi Misango
akimnyanyua samaki aina ya taa ili amuandae tayari kwa kumuuza kwa wateja
wanafuata kitoweo katika soko la samaki la Feri jijini Dar es salaam.
Kijana Hamisi Misango
akimnyanyua samaki aina ya taa ili amuandae tayari kwa kumuuza kwa wateja
wanafuata kitoweo katika soko la samaki la Feri jijini Dar es salaam.
Mama lishe Zainabu Hamad anayefanya shughuli
zake za kutoa huduma ya chakula katika soko la Feri zoni 4 kizimba namba 12
akiongea na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama Kiliba alipotembelea sokoni hapo kwa lengo la
kuhamasisha suala la usafi kwa manufaa ya kulinda afya ya wananchi wanatumia
huduma hiyo wakiwa sokoni humo.
Baadhi ya maeneo yaliyokithiri kwa uchafu katika
soko la Kariakoo.
Baadhi ya maeneo yaliyokithiri kwa uchafu katika
soko la Kariakoo.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala
za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama Kiliba na msafara wake
wakiwa katika eneo la soko la Kariakaoo kukagua suala la usafi unavyozingatiwa
sokoni humo. Licha ya uchafu uliopo katika soko la Kariakoo, wafanyabiashara wa
matunda hawachukui tahadhari yeyote ya kulinda afya za walaji wa matunda ambapo
wanauza matunda aina ya mananasi bila kuyafunika sa kusababisha inzi kuyazonga
zonga matunda hayo kitu ambacho ni hatari kwa suala la usalama wa afya ya
malaji. Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO







No comments:
Post a Comment