Kamera ya Mafoto Blog iliwanasa jamaa hawa wakiwa wametulia tuuuuuli juu ya Kibajaji chao kilichosheheni takataka huku kikikatiza barabara ya Mandera tena bila woga wa kupata ajali wala kuogopa askari wa usalama barabarani
TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI WA DAWA AFRIKA, YAWAALIKA
WAWEKEZAJI WA CHINA
-
Na John Mapepele, Wu hani - China
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya
viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment