Pikipiki ya (kulia) ni Boxer yenye namba za usajili MC 595 BDC ilikuwa ikitokea Tang Bovu kuelekea Goba na ya (kushoto) ni ya Mchina yenye namba za usajili T165 CGC ilikuwa ikitokea njia ndogo Kituo cha Sanya kuingia barabara kubwa na kumgonga mwenye Boxer. Katika ajali hiyomadereva hao wote walinusurika.
Mmoja kati ya madereva wa pikipikihizoaliyejulikana kwa jina moja la Enock (kushoto) mwenye kikoti cha njano, akiwa eneola tukio akisubiri utaratibu wa askari wa usalama barabarani kuja kupima ajali hiyo
No comments:
Post a Comment