wakifurahia baada ya kukata utepe huo.
Rais Dkt. John Magufuli, akihutubia katika hafla hiyo huku akimtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,kuendelea kuchapa kazi na kujiepusha na kuyafumbia macho yanayoendelea mitandaoni kuhusu yeye kutochukua hatua kwa yale yanayosemwa juu ya Mkuu huyo wa Mkoa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akipiga makofi kuashiria kushukuru baada ya kauli hiyo.
Mwakilishi mkaazi waBenki ya Dunia, Bella Bird (kushoto) akitiliana saini na Waziri wa Fedha, Phillip Mpango, mikataba mitatu ya Maendeleo Mijini, Miradi ya Maji na ujenzi wa Fly Over, leo wakati wa hafla ya uzinduzi na uwekaji Jiwe la msingi ujenzi wa Barabara za juu za Ubungo-Ubungo Interchange.
Wakibadilishana mikataba baada ya kusainiana
Mkuu wa MKoa wa Dar es Salaam, akipanda jukwaa kuu kumshukuru Mhe. Rais
Sehemu ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam,waliojitokeza kushuhudia uzinduzi huo wakimshangilia Raid Dkt. Magufuli wakati akiondoka mahala hapo.
Wasanii wa Muziki wa Asili kutoka Mkoani Mbeya, Wamwiduka wakitoa burudani wakati wa hafla hiyo
Rais Dkt. Magufuli na mgeni wake wakishuka katika usafiri wa Mwedno kasi kuingia eneo lililokuwa likifanyika uzinduzi huo.
Kundi la Sanaa kutoka mkoani Ruvuma, likitoa burudani ya ngoma ya Mganda katika hafla hiyo.
Wasanii wa kundi la Sanaa la JKT wakishambulia jukwaa katika uzinduzi huo. Picha Zote na MUhidin Sufiani (MAFOTO)
















No comments:
Post a Comment